The Chant of Savant

Sunday 17 July 2016

Twarana na nii (Nenda nami) -Jane Muthoni



Huwa napenda nyimbo za Kikuyu kwa vile nakifahamu japo si sana. Wimbo huu wa Jane Muthoni (Mkwe) huburudisha na kufundisha. Hapa nakudonolea kidogo tu.

Umeniita nikufuate
Kuna shida safarini
Nakuomba usiniache

Nenda nami
Twende nyumbani x2

Moyo wangu unataka kukutumia
Ninashindwa na shida za dunia hii
Hauna kifani upendo wako
Nenda nami mungu wangu
Twende nyumbani

Mambo mengi niyaonayo safarini

Marafiki zangu si sawa nawe

No comments: