The Chant of Savant

Friday 26 February 2016

Hii ni bahati mbaya au kuna namna kwenye wizi wa makontena?

KWA mujibu wa gazeti la Nipashe la leo, kampuni zifuatazo ndizo zilibainika kushiriki kupitisha makotena bandarini bila kulipa ushuru. Ukiangalia majina ya makampuni takriban yote ni ya kiarabu. Je haya makampuni yalikuwa yanatokea Uarabuni au kwingineko. Je ilikuwaje wafanyabiashara ya utoaji makontena wote wawe na majina ya kiarabu au kuna namna.
Orodha ya makampuni kama ifuatavyo:
Makampuni yalijisalimisha kulipa kati 24 kuwa ni pamoja na kampuni ya Zulea Abas Ally, Omary Hussein Badawy, Libas Fashion, Ally Awes Hamdani, Zuleha Abbas Alli na Issa Ali Salim. 
Kwa upande wa kampuni  ambayo yameshindwa kulipa kodi ni ya Said Ahmed Said, Strauss Said, Farid Abdallah Salum, Nasir Saleh Mazrui, Simbo Yona Kimaro, Ally Masoud Dama, Juma Kssem Abdul, Salum Link Tyres, Tybat Trading Co. Ltd na  Swaleh Mohamed Swalehe. 
Mengine ni Ips Roofing Co.Ltd, Rushwheel Tyre Genaral Co.Ltd, Said Ahmad Hamdan, Ahmed Saleh Tawred na Farida Abdullah Salem.
 

No comments: