The Chant of Savant

Saturday 8 February 2014

Huyu soja vipi jamanini?

Kuna utendaji, uwajibikaji na uadilifu hapa? Kweli kuna usoja mle au kiriba tumbo na magonjwa ya kila aina kuanzia ya kitabia hata ya kibaolojia. Je nchi zenye masoja kama hawa zimo kwenye hatari kubwa kiasi gani? Hilo wowowo ndiyo usiseme. Ikija kwenye friji wow! Only God knows! Ngai Muthamaki tuhonokye! Mnakumbuka jinsi masoja wa Kenya walivyokwenda kwenye Westgate or Wastegate mall kujiibia kila walichoweza huku wakisahau wajibu wao? Je Bongo mnao maafande wangapi mafisi na mafisadi wakubwa kiasi cha kuwalinda na kuwaengaenga mafisadi wakuu? Msijali. Nilikuwa nawaza tu baada ya kuona picha nzuri ya kupendeza kama hii. Tafakarini hata hivyo.

4 comments:

Anonymous said...

nimeipenda hiyo!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon,
Kweli inapendeza au vipi?

Anonymous said...

Terrible and it shows the truth of our army personnel incompetence!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Yeah. This is how far we have gone in over fifty years of our independence that is always dependent on donors. I wish this cop were a presidential guard may be the big man would have seen how stupid and corrupt and bankrupt his regime is.