The Chant of Savant

Saturday 30 November 2013

Kikwete anapopewa uchifu na fisadi Chenge


Picha kwa hisani ya Ippmedia
Kitendo cha mkoa wa Simiyu kumpa uchifu rais Jakaya Kikwete ni cha ajabu kidogo. Hivi walikosa mtu wa kkufanya hivyo hadi wamchague fisadi Andrew Chenge kumpa "heshima" ambayo licha ya kuanza kugeuka aibu imekosa maana kabisa. Je namna hii Kikwete anaweza kumfungulia mashtaka fisadi huyu au wote lao ni moja? Washauri wa Kikwete wana kazi ya ziada.

No comments: