The Chant of Savant

Thursday 25 July 2013

Chiwoniso hatunaye tena

Chiwoniso Maraire in 2008 in South Africa













Kwa wapenzi wa muziki jina Chiwoniso Maraire (Chichi) si geni kwao. Mwana mama huyu maarufu kwa kupiga chombo cha kienyeji kiitwacho Mbira huko Zimbabwe, alifariki jana kutokana na 'nyumonia'. Chiwoniso ambaye alizaliwa nchini Marekani alisifika sana kwa muzika wake mchanganyiko wenye vionjo vya kiZimbabwe na kisasa. Alikuwa na umri wa miaka 37. Ameacha watoto wawili. Alitanguliwa na mumewe Andy Brown aliyefariki mwaka  jana akiwa na umri wa miaka 50. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: