The Chant of Savant

Friday 10 August 2012

Jamaa amekata miaka 38 bila kuoga, kisa?

mtoto wa kiume! Kichaa au imani?

Huyo jamaa hapo juu aitwaye Kailash Singh (66) ametoa mpya kwa kukaa miaka 38 bila kuoga wala  kunyoa ndevu. Kisa?Aliweka nadhiri kuwa ataoga siku akipata mtoto wa kiume. Singh ameingia kwenye kitabu cha maajabu ya dunia cha Guiness kuwa mtu anayeongoza kwa kunuka. Pamoja na yote  hayo yeye hajali hadi apate mtoto wa kiume. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

2 comments:

Anonymous said...

Hizi ndo Bangi

anjela said...

huyo mwanamke aliye teari kumpa huyo mtoto nae chiboko