The Chant of Savant

Tuesday 22 May 2012

Watawala wetu watasemaje kuendekeza U-ekelege?


Mosquito

Taarifa zilitolewa hivi karibuni kuhusiana na mapambano dhidi ya gonjwa hatari la Malaria ni kwamba nchi nyingi za Afrika Kusini mwa Sahara na Asia zimekuwa zikitumia dawa feki kupambana na Malaria. Wengi wanajiuliza: Kama siyo ufisadi wa makusudi, inakuwaje nchi yenye kila asasi na zana za usalama inaingia mkenge hivi? Je watawala wetu wanatufanyia biashara kwa faida zao huku wakijua wanachofanya? Ama kweli Mangungo wa leo ni wabaya kuliko Mangungo mwenyewe! Ingawa watawala wetu hawatuuzi tena utumwani, wanachofanya ni zaidi ya utumwa maana utumwa ulimwachia mtu uhai na nafasi ya kuasi hata kujikomboa kuliko vifo hivi vya makusudi. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: