The Chant of Savant

Wednesday 23 May 2012

Ngurdoto ilipohamia Dodoma


Ingawa tukisema kuwa rais Jakaya Kikwete ni mgumu kujifunza tunaonekana kumsakama, ukweli ni kwamba ni mgumu wa kujifunza. Kwa wanaokumbuka madudu yaliyotokea wakati wa semina elekezi ya Ngurdoto, wanashangaa ni kwanini anarudia upuuzi ule ule. Uliza imetumika pesa kiasi gani kwenye semina ya wakuu wa wilaya na mikoa inayoendelea huko Dodoma? Ni mabilioni ya shilingi. Kuwasafirisha, kuwalipa perdiem, kuwalaza na mambo mengine si bure. Huyu rais ametumwa kutumaliza nini?

No comments: