The Chant of Savant

Friday 25 May 2012

Je Kikwete naye anauza au kunufaika na unga?


Kuna imani kuwa viongozi wetu wa juu wanashiriki au kushirikiana na wauza unga. Ndiyo maana wahusika hawakamatwi kwa vile wanaopaswa kuwakamata ndiyo wale wale wanufaika na jinai hii. Rais aliwahi kutuahidi kuwa angewashughulikia wauza unga na alisema kuwa orodha yao alikuwa nayo. Miaka inazidi kuyoyoma. Je rais atatimiza lini ahadi yake? Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: