The Chant of Savant

Monday 28 May 2012

Hata bila kuiba viongozi wanaweza kustaafia pazuri

Picture taken on January 28, 2011 of former South African president Nelson Mandela's house in Qunu. AFP PHOTO / ALEXANDER JOEHii ni nyumba ya Mzee Nelson Mandela rais wa kwanza wa Afrika Kusini iliyopo kijijini mwake Qunu Transkei. Mandela hana nyumba moja tu. Anayo nyumba nyingine kwenye eneo la watu matajiri  la Houghton mjini J'burg. Hili ni fundisho kwa viongozi wezi kama Bingu wa Mutharika aliyeiba na kuwekeza kwenye hekalu kuwa uongozi uliotukuka hutuzwa na taifa kama inavyoonekana kwa Madiba.

Nelson Mandela's childhood home
Hii ni nyumba ya kwanza ya Madiba huko Soweto kabla ya kuanza harakati za ukombozi.

Nelson Mandela
Hii ndiyo nyumba ya Houghton J'burg

No comments: