The Chant of Savant

Wednesday 2 March 2011

Kumbe na PhD ya mwana wa Gadaffi ni feki!


Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa utawala na familia ya imla wa Libya Muamar Gadaffi. Baada ya kuwa ukingoni mwa madaraka aliyodumu nayo miaka 42, sasa kuna taarifa kuwa London School of Economics nayo imeingia kashfa kutokana na kuruhusu mtoto wa Gadaffi, Seif al Islam kupata shahada ya juu ya PhD kwa njia zinazotia shaka.

Hata hivyo wengi tunajiuliza. Ni kwanini hili lionekane sasa baada ya magharibi kukosana na utawala wa baba yake anayesadiki wamemsaliti? Kwa habari zaidi
bonyeza hapa.

No comments: