The Chant of Savant

Saturday 12 January 2008

Hapa kuna nchi kweli au mabaki?

Attention please!

Belly of Tembo. Kama uchafu wenyewe unanuka kiasi hiki, jamani, nani amkamate nani? Hapa ni BoT. Je NIC,Harbours, Immigration, TRA na kila penye ulaji wapo wapi, wangapi na wenye sura zipi? Kweli Tanzania au Danganyika siyo ya wadanganyika bali genge lijiitalo Watuwala.

1. Pamella Lowassa, Mtoto wa waziri mkuu wa sasa kinara wa kikundi cha Mafia kinachoiuza Tanzania mwili na roho.
2. Filbert Frederick Sumaye, Mtoto wa waziri mkuu wa zamani aliyesifika kwa kupenda mali na kujilimbikizia na bingwa wa kuboronga.
3. Zalia Kawawa, Mtoto wa waziri mkuu wa zamani.
4. Harieth Lumbanga,Mtoto wa Katibu wa ofisi ya rais wa zamani.
5. Salama Ally Mwinyi,Mtoto wa rais wa zamani!
6. Rachael Muganda, Mtoto wa hawara wa gavana wa benki kuu wa zamani.
7. Sylvia Omari Mahita,Mtoto wa mkuu wa polisi wa zamani!
8. Justina James Mungai, Mtoto wa waziri mzee wa zamani.
9. Kenneth John Nchimbi, Mtoto wa mzito wa CCM wa zamani.
10. Blassia Blassius William Mkapa, Mtoto wa ndugu wa rais wa zamani!!
11. Violeth Phillemon Luhanjo,Mtoto wa katibu mkuu ofisi ya rais wa sasa!
12. Liku Irene Katte Kamba, Mtoto wa naibu spika wa sasa na waziri wa zamani.
13. Thomas Mongella, Mtoto wa waziri wa zamani
14. Jabir Abdallah Kigoda..................... Mtoto wa waziri wa zamani kinara wa kuibamiza nchi mkenge kwenye uwekezaji na ujambazi!

KUMBE TULIIBIWA ZAMANI TENA ZAMANI SANA KWA MBINU NA HILA ZA KIZAMANI NA GENGE LA WEZI LA ZAMANI? wezi waliisharithishana zamani gani!

No comments: